Al-Waqiyah TV: Taarifa kwa Vyombo vya Habari "Je! Kuna Nini Baada ya Miaka 20 ya Vita dhidi ya (Ugaidi)?"
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wakati wa miaka ya 1840, wakati Ireland ilipokuwa katika baa kubwa la njaa kubwa ambalo lilichukua roho za zaidi ya watu milioni moja,
Mnamo 07/10/2001 M, Amerika, kinara wa ukafiri, na mshirika wake Uingereza walianzisha vita vya kinyama dhidi ya Waislamu, waliishambulia kwa mabomu miji ya Afghanistan ya: Kabul, Kandahar, Jalalabad na mengineyo na makombora ya Tomahawk, na kurusha makombora na aina anuwai za silaha.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo baada ya swala ya Ijumaa katika kambi ya Ataa iliyo katika mkusanyiko wa kambi za Al-Karame viungani mwa Idlib kikitoa wito kwa vikundi kufungua eneo la pwani ili kuiangusha serikali ya mhalifu.