Mamlaka ya Palestina kupitia Maamuzi Yake ya Kidhulma Yanatishia Amani ya Raia na Kutaka Kuangamiza Jamii na Kufukarisha Watu na Kuwatumbukiza katika Haramu
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tangu kuanzishwa kwake, Mamlaka ya Palestina (PA) imekuwa ikifanya kazi kwa uovu, hofu na vitisho ili kuwatiisha watu wa Palestina na kuwafanya kuwa windo rahisi kwa maadui zao. Mara hufinika uhalifu wake kwa sheria na mara nyingine hupuuza sheria.