Jumatano, 12 Dhu al-Qi'dah 1444 | 2023/05/31
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Nidhamu ya Elimu ya Msingi Katika Khilafah ya Uthman

Kampeni mbaya dhidi ya Waislamu na Uislamu zimekuwepo tangu kuteremshwa kwa Aya ya kwanza ya Quran. Yaliyokuwa madai ya kawaida zaidi ni yale yaliyotolewa na wale wanaotamani kuushambulia mtazamo wa Uislamu juu ya maisha ni kwamba mafunzo ya Uislamu yanapigia debe ujinga, ufuataji wa kipofu, kujenga watu wasiojali wenzi wao na wasio heshimu maendeleo ya kiteknolojia na kijamii hususan masuala yanayohusiana na wasichana na kuwawezesha kupitia elimu.

Soma zaidi...

“Watoto kwa Pesa” ni Mfano Mwengine wa Faida za Kirasilimali Zinazothaminiwa Kuliko Maadili ya Kiutu

Mnamo 8 Julai gazeti la New York Times liliripoti juu ya mpango mpya zaidi wa kibiashara wa Raisi wa Amerika uliolenga kuyawekea kizuizi maazimio ya Umoja wa Mataifa ya kusaidia unyonyeshaji wa maziwa ya mama katika ngazi ya kimataifa, akiyataja kuwa mbinu bora zaidi ya kukuza afya ya watoto wachanga.

Soma zaidi...

Uingereza Yaishinda Ujanja Amerika kwa Mara Nyengine Tena kwa Kuthibitisha Mamlaka yake Barani Afrika

Ukoloni mkongwe wa kinyang'anyiro cha Bara la Afrika umepita mipaka baina ya Amerika inayo lingania kukumbatiwa kwa demokrasia na vyama vingi na upande wa pili Uingereza bwana mkoloni mkuu anayelingania kudumishwa kwa hali halisi kwa kufanya mabadiliko machache ya kisanii kuhadaa watu walio na kiu ya mabadiliko ya kihakika.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu