Ijumaa, 19 Ramadan 1445 | 2024/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi

Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Iraq inatoa rambirambi zake za dhati kwa familia ya marehemu mheshimiwa Ndugu Khader Issa Al-Jubouri, aliyefariki mnamo Jumapili jioni, tarehe 9 Muharram 1444 H sawia na Agosti 7, 2022 M, baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Soma zaidi...

Iraq: Kutoka kwenye Kizingiti cha Kisiasa Hadi kwenye Mporomoko wa Kisiasa

Baada ya mapambano, ushindani na mizozo kwa zaidi ya miezi 7, kiongozi wa vuguvugu la Sadri, Muqtada al-Sadr, alitangaza kujiuzulu kwa wabunge wa kambi yake kubwa zaidi ya bunge katika bunge la Iraq, ambao idadi yao ni 73, dhidi ya msingi wa mwendelezo wa Mfumo wa Uratibu - unaojumuisha vikosi vya kisiasa vya Kishia vilevile - na kuzuia uundaji wa serikali ya kitaifa ya wengi kabla ya hapo.

Soma zaidi...

Bajeti ya Iraq na Mifuko ya Wafisadi

Baada ya miezi mitatu ya mvutano na ugomvi kati ya wabunge kwa matusi na kupiga mikono, bunge la Iraq liliidhinisha bajeti ya 2021, ambayo ni sawa na dinari za Iraq trilioni 130 (dolari bilioni 89.65), Iraq inategemea katika bajeti yake mafuta ambayo inayasafirisha nje.

Soma zaidi...

Uokovu wa Ummah kutoka kwa Majanga yake na Kuhifadhi Hadhi yake kunaweza Kupatikana tu kwa Kufuata Njia ya Uislamu Kile ambacho Waislamu wanahitaji Leo ni Watawala Wenye Ikhlasi Wanaotafuta Kuwahudumia wao na Kuwaondoa katika Maafa

Ummah wa Kiislamu umepitia kumbukumbu ya maumivu; ni kumbukumbu ya kuvunjwa kwa serikali ya Kiislamu ambayo misingi yake imeanzishwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) mjini Madina, kisha kuendelezwa na Waislamu, kizazi baada ya kizazi.

Soma zaidi...

Uokovu wa Taifa kutoka kwa Majanga yake na Kuhifadhi Hadhi yake kunaweza kupatikana tu kwa kufuata Njia ya Uislamu

Miezi mitatu imepita tangu kuanza kwa harakati maalumu nchini Iraq, ambayo imeongezeka kwa masafa na ukali ili kujumuisha sekta kubwa za watu, zilizowasilishwa katika utalaamu mbalimbali katika jamii kama vile madaktari, wahandisi, wanafunzi wa vyuo vikuu, wanasheria, wafanyibiashara, na wamiliki wa shahada za kisayansi pamoja na majeshi yasiyoajiriwa, na pia watu wa makabila kadhaa katika majimbo ya kati na kusini, na takriban watu wote – isipokuwa wachache - wamehusishwa katika maandamano haya kuunga mkono uasi baada ya kushindwa kuvumilia dhulma kubwa na ukweli wakuhuzunisha unaotokana na sera za mfululizo wa serikali zilizowekwa na kafiri tangu mwaka wa 2003.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu