Jumamosi, 04 Jumada al-awwal 1447 | 2025/10/25
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  23 Rabi' II 1447 Na: HTS 1447 / 43
M.  Jumatano, 15 Oktoba 2025

Mwaliko wa Kuhudhuria Mkutano na Waandishi wa Habari
(Imetafsiriwa)

Sisi, katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, tunafuraha kuwaalika ndugu wanahabari, wanasiasa, na wale wanaopenda masuala ya umma kuhudhuria mkutano na waandishi wa habari ambapo msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan atazungumza, wenye kichwa:

Mkanganyiko wa Serikali Kuhusu Jinsi ya Kudhibiti Miamala ya Dhahabu

Wakati: Jumamosi, 26 Rabi' al-Akhar 1447 H sawia na 18 Oktoba 2025 M saa 1 Adhuhuri. Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, Port Sudan - Wilaya ya Al-Azma - Mashariki mwa Uga wa Port Sudan.

Uwepo wenu unanogesha mazungumzo.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir
katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu