Jumanne, 19 Jumada al-thani 1447 | 2025/12/09
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  12 Jumada II 1447 Na: HTS 1447 / 63
M.  Jumatano, 03 Disemba 2025

Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan
Wamzuru Katibu Mkuu wa Chama cha Wanasheria katika Jimbo la Al-Jazirah
(Imetafsiriwa)

Mnamo Jumanne, 2 Disemba 2025, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, ukiongozwa na Mhandisi Mahdi Muhajir, mwanachama wa Hizb ut Tahrir, na akifuatana na Ustadh Omar Ibrahim, pia mwanachama wa Hizb ut Tahrir, na Mhandisi Walid Kamil, walimtembelea Ustadh Imad Ismail Muhammad Ahmad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wanasheria katika Jimbo la Al-Jazirah, afisini kwake Wad Madani. Majadiliano yalilenga kampeni ya Hizb ya kutibua mpango wa Amerika wa kuitenganisha Darfur. Kufuatia kauli ya mkuu wa ujumbe huo, Katibu Mkuu aliipongeza hizb kwa juhudi zake kubwa za kusimamisha Khilafah. Alisema kwamba anakubaliana na pendekezo la Hizb ut Tahrir kwamba Chama cha Wanasheria kipokee juhudi zake, na kwamba milango yao iko wazi kwa hilo.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu