Jumatatu, 29 Dhu al-Hijjah 1447 | 2026/06/15
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  16 Dhu al-Hijjah 1447 Na: HTS 1447 / 124
M.  Jumamosi, 06 Juni 2026

Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Kadhia za Umma

(Imetafsiriwa)

Tunafuraha, kama Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, kuwaalika wanahabari, wanasiasa, na wote walio na hamu na masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika Kikao cha kila mwezi cha Kadhia za Umma, ambacho mwezi huu kitafanyika katika afisi ya Hizb jijini Khartoum baada ya kukatizwa kwa muda mrefu kwa zaidi ya miaka mitatu kutokana na vita.

Kikao cha mwezi huu kitakuwa na kichwa:

Mizizi ya Usekula katika Siasa za Sudan na Namna ya Kuing’oa

Wazungumzaji katika kikao watakuwa:

1. Dkt. Ahmed Abdel Fadil – Mwanachama wa Hizb ut Tahrir

2. Ustadh Abdullah Hussein – Mwanachama wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan

Mwendeshaji: Ustadh Munzir Abdul Raouf – Mwanachama wa Hizb ut Tahrir

Tarehe: Jumamosi, 20 Dhu al-Hijjah 1447 H, sawia na 06/06/2026 M

Wakati: 11:00 a.m.

Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, Khartoum Mashariki, magharibu mwa makutano ya barabara ya Al-Mak Nimir na barabara ya 21 Oktoba.

Kuhudhuria kwenu ni heshima kwetu na kunaakisi hamu yenu kwa kadhia za Umma wenu.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)

Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu