Kwa Nini Mtume (saw) Hakuomba Nusra (Nguvu za Kimada) kutoka kwa Maquraish
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kimfumo
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa ajili ya ufafanuzi wa swali: Je, Mtume (saw) kutokuomba kwake Nusra kutoka kwa Maquraish ni kwa sababu hawakuwa na vigezo hivyo kabisa, au ni kwa sababu tu waliukataa Uislamu? Na ninaokusudia ni viongozi wa Makkah.



