Hizb ut Tahrir / Uswidi: Vipi Tutaikomboa Palestina?
- Imepeperushwa katika Sweden
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Uswidi:
Vipi Tutaikomboa Palestina?
Hizb ut Tahrir / Uswidi:
Vipi Tutaikomboa Palestina?
Hizb ut Tahrir / Australia iliandaa kisimamo ambacho kiliyataka majeshi ya Waislamu kutaharaki mara moja kwa ajili ya kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wanyakuzi wauaji.
Hizb ut Tahrir/ Uingereza: Gaza Inaita! Lini Nusra Itakuja?
Mbele ya ushujaa ulioonyeshwa na mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile la Kiyahudi linaloendelea na kushambulia Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa, uzingiraji wake na upigaji mabomu wake unaoendelea kwa miaka 17 kwenye Ukanda wa Gaza
Kampeni ya Kiulimwengu na Siku ya Wanawake Kuchukua Hatua Kuyaamsha Majeshi ya Waislamu na Wito kwao Kuwaokoa Wanawake wa Gaza na Watoto wake na Ukombozi Kamili wa Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki:
Amali "Viongozi 57 Hawawezi Kusimama Nafasi ya Khalifah Mmoja!"
Hizb ut Tahrir / Amerika iliwasilisha amali hii ya mtandaoni. Amali hii inachunguza kwa kina mazingira tata ya kijiografia ya hali ya Gaza na katika kanda yote. Wageni wetu ni wataalamu wa masuala ya Mashariki ya Kati na ya Kiislamu.
Ukumbusho kwamba suluhisho la Gaza ni suluhisho la kijeshi linalohitaji kwamba majeshi yachukue hatua ya kuangusha tawala, kutabikisha Uislamu, na kuhamasisha majeshi kuelekea Palestina.
Mnamo Jumamosi, 11/11/2023, takriban watawala sitini wa Kiarabu na wasiokuwa wa Kiarabu wa nchi za Waislamu walikutana jijini Riyadh kujadili uvamizi wa Mayahudi dhidi ya Gaza, yaani zaidi ya mwezi mmoja baada ya uvamizi wa Mayahudi kuanza, na baada ya mashahidi zaidi ya elfu kumi na moja na Karibu elfu thelathini kujeruhiwa.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki, inaandaa silsila ya makongamano na mikutano chini ya kichwa:
“Suluhisho la Tatizo (la Israel) na Ukombozi wa Palestina katika Vidokezo 10”