Hizb ut Tahrir / Uingereza: Maandamano ya Kuwanusuru na Kuwaombea Nusra Waislamu nchini Palestina!
- Imepeperushwa katika Uingereza
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Maandamano ya Kuwanusuru na Kuwaombea Nusra Waislamu nchini Palestina!
Maandamano ya Kuwanusuru na Kuwaombea Nusra Waislamu nchini Palestina!
Hizb ut Tahrir/ Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina: Enyi Majeshi ya Ummah... Watu wa Gaza Wanakusubirini, Je, Mtaitika?
Maelfu ya watu wa Palestina walijitokeza kwa wingi katika mji wa Hebron kama wito kwa Umma,
Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa yaliyofanywa na Mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile nyakuzi la Kiyahudi, ambalo linaendelea na kuzidi na hujuma yake inayoendelea dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na uzingiraji na ulipuaji wake wa mabomu ambao umeendelea kwa miaka 17 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut-Tahrir / Uswidi inaandaa kisimamo kufichua unafiki wa Magharibi na uungaji mkono wake kwa umbile la Kiyahudi
Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa yaliyofanywa na Mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile nyakuzi la Kiyahudi, ambalo linaendelea na kuzidi na hujuma yake inayoendelea dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na uzingiraji na ulipuaji wake wa mabomu ambao umeendelea kwa miaka 17 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut-Tahrir / Wilayah ya Uturuki inaandaa mikesha jijini Ankara na Istanbul kwa kichwa:
“Ima ikomboeni Palestina au fungueni njia kwa Umma!”
Kisimamo cha Los Angeles Kilichoyaomba Nusra Majeshi ya Waislamu Kuikomboa Al-Aqsa!
Kwa kuzingatia ushujaa ambao mujahidina mashujaa waliutenda katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile la Kiyahudi linaloendelea katika mashambulizi yake ya Msikiti wa Al-Aqsa,
Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa yaliyofanywa na mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile la Kiyahudi
Hizb ut-Tahrir / Amerika (Washington DC) inazungumzia dori ya jamii ya Waislamu jijini Washington, DC, ikiwemo wajumbe anuwai wa afisi za mabalozi, na kuwasihi kukumbuka wajibu wao kama Waislamu ili kuwalinda ndugu na dada zao Waislamu mjini Gaza.
Wito wa Sheikh Essam Amira (Abu Abdulla) kwa vikosi vya jeshi la Uturuki kuwanusuru Mujahidina na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa