Msikiti wa Al-Aqsa: Amali za Ijumaa za Ramadhan 1444 H - 2023 M
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Amali za Ijumaa za Ramadhan 1444 H - 2023 M
Amali za Ijumaa za Ramadhan 1444 H - 2023 M
Kwa kweli ni kama Mfumo wa Uendeshaji (OS) ambao hauwezi kusakinishwa kwenye OS nyengine.
Majaribio yoyote ya ‘kuiweka ndani yake’ bila shaka yatafeli na kuongeza masaibu ya Ummah.
Ujumbe wa Dkt. Nazreen Nawaz kwa Mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadan 1444 H
Bismillah Ar-Rahman Ar-Raheem na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote, Aliyetufaradhishia kufunga mwezi wa Ramadhan na kuifanya kuwa ni miongoni mwa nguzo za Uislamu, na rehma na amani zimshukie yule aliye teremshiwa Qur’an Tukufu katika mwezi mtukufu, kama uongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uongofu na upambanuzi, bwana wetu Muhammad na jamaa zake na maswahaba wake wote.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh inaandaa kongamano lake la kila mwaka kwa mwaka huu chini ya kichwa:
“Ombwe la kisiasa nchini Bangladesh: suluhisho pekee ni kuregesha Khilafah”
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa, amali za maandamano na matembezi katika miji na vijiji kadhaa kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 12 ya Mapinduzi Yaliyobarikiwa ya Ash-Sham
Kufuatia kampeni inayo endelea dhidi ya ushoga na mapenzi ya jinsia moja nchini Tanzania inayofanywa katika mikoa mbalimbali na Waislamu ikiwemo Hizb ut Tahrir Tanzania, tungependa kubainisha yafuatayo
Hizb ut Tahrir / Uholanzi yaandaa Kongamano la Khilafah la kila mwaka chini ya kichwa:
“Kulenga familia ya Kiislamu katika nchi za Magharibi”
Maoni ya Habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Kwa Mabadiliko ya Kweli... Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki itaandaa kongamano la kimataifa kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 102 ya kuvunjwa Dola ya Khilafah, kwa ushiriki mpana chini ya kichwa:
“Kuvunjwa kwa Khilafah… Janga Kuu la Karne!”