Jumanne, 09 Ramadan 1445 | 2024/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir / Syria:

Amali za Maandamano kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 12 ya Mapinduzi ya Ash-Sham Yaliyobarikiwa

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa, amali za maandamano na matembezi katika miji na vijiji kadhaa kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 12 ya Mapinduzi Yaliyobarikiwa ya Ash-Sham, na kunyanyua kauli mbiu:

“Tunaelekea kwenye kuregesha ufanyaji maamuzi na utawala wa Kiislamu, matakwa ya wanamapinduzi”

Ijumaa, 25 Sha’aban 1444 H – 17 Machi 2023 M

- Mukhtasari wa Maandamano ya Idlib -

- Angazo la Maandamano ya Mji wa Idlib -

Kalima ya Ustadh Ahmed Abdel-Wahhab

Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Syria

Wakati wa maandamano ya mji wa Idlib

- Kalima ya Ustadh Safwan Al-Kanj (Abu Suleiman) wakati wa maandamano ya mji wa Idlib -

- Mikutano kando ya maandamano katika mji wa Idlib -

- Mukhtasari wa Maandamano ya Mji wa Kafr Viungani mwa Aleppo -

- Angazo la Maandamano ya Mji wa Kafr Viungani mwa Aleppo

- Kalima ya Ustadh Munir Nasser kwenye maandamano ya mji wa Kafra, viungani mwa Aleppo -

- Kalima ya Ustadh Ali Al-Bakri kwenye maandamano ya mji wa Kafra, viungani mwa Aleppo -

- Kalima ya Ustadh Mustafa Suleiman kwenye maandamano ya mji wa Kafra, viungani mwa Aleppo -

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu