Jumatatu, 03 Safar 1447 | 2025/07/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Maneno Hayatoshi Kuuadhibu Utawala wa Modi wenye Chuki na Uislamu

Hivi majuzi, serikali ya Narendra Modi ilijikuta matatani baada ya baadhi ya wanachama wake kutoa matamshi ya dharau dhidi ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw). Katika nia ya kujinasua kutoka kwa ghadhabu inayozidi kuongezeka katika ulimwengu wa Kiislamu, Modi alichukua hatua haraka kuwasimamisha kazi maafisa wa BJP wenye hatia lakini hii haikusaidia kuzuia kashfa dhidi ya serikali yake.

Soma zaidi...

Uamuzi wa Mahakama ya Rufaa katika Faili ya Hizb ut Tahrir … Mahakama Ilikataa Pingamizi bila ya Kutoa Sababu Yoyote!

Katika kesi kuhusiana na Kongamano la Khilafah, lililopangwa kufanyika mnamo Machi 5, 2017 jijini Istanbul lakini halikufanyika kutokana na kukataa kwa idara ya raia, Mahakama ya Rufaa ilikataa pingamizi ya uamuzi wa adhabu wa mahakama ya eneo bila kutoa sababu yoyote.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu