Kudai kuachiliwa huru kwa Naveed Butt, ambaye alitekwa nyara tangu mwaka wa 2012 M kwa mujarad tu wa kutaka kwake kukombolewa kwa Pakistan kutokana na kutawaliwa na Marekani!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ee Mwenyezi Mungu, wasamehe watu wetu wa Gabes na uwe pamoja nao wala usiwe dhidi yao, Ee Mwenyezi Mungu, Ee Mwenyezi Mungu, ujaaliye moto huu uwe baridi na salama kwa watu wetu jijini Gabes.
Hizb ut Tahrir / Denmark iliandaa kisimamo mbele ya Bunge la Denmark katika uwanja wa Christiansborg Castle Square cha kulaani mateso ya umwagaji damu ya India dhidi ya Waislamu na unafiki wa serikali ya Denmark.
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu na rehma na amani zimshukie Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) na jamaa zake na maswahaba wake na wafuasi wake:
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Wabebaji Dawah Kote Ulimwenguni kwa Ujio wa Idd ul Fitr Iliyobarikiwa 1443 H
“Utiifu kwa Wenye Mamlaka katika Kuanza Kufunga na Kufungua Saumu”
Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, atafanya ziara rasmi nchini Denmark Mei 3 - 4. Atakula chakula cha jioni na Malkia pamoja na kushiriki katika mkutano wa kilele wa Indo-Nordic, ulioandaliwa na Waziri Mkuu wa Denmark, Mette Frederiksen.
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Babika viungani mwa Aleppo, kisimamo kwa anwani “Mauaji ya Kitongoji cha Al-Tadhamun ni Mfano Mdogo wa Mauaji ya Suluhisho la Kisiasa la Amerika na Azimio 2254!”
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa programu nyingi za iftar katika miji mikubwa zaidi ya 20 kote nchini Uturuki kwa kuwashirikisha wawakilishi wa vyama vya kisiasa, waandishi habari, vyombo vya habari na mashirika yasiyo ya kiserikali.
Katika muendelezo wa amali za umma zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan, ili kuuamsha Umma wa Kiislamu na kuimarisha azma yake ya kusimamisha Dola ya Khilafah Rashida upya,