Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Kashmir
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Uislamu katu hauruhusu majadiliano ya kukubaliana na makafiri kuhusu maswala ya Ardhi za Waislamu na haki na ulinzi wa Waislamu.
Uislamu katu hauruhusu majadiliano ya kukubaliana na makafiri kuhusu maswala ya Ardhi za Waislamu na haki na ulinzi wa Waislamu.
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Atma viungani mwa Idlib kwa anwani "Fanyeni Haraka katika Ramadhan Kuachwa Huru na Kutaka Kuachwa Huru"
Watawala wa Pakistan wanaendelea kuukumbatia ulazimishaji wa kiuchumi kuliko masuala ya heshima ya Mtume (saw), Kashmir Iliyokaliwa na kulinda ushawishi wa Marekani nchini Afghanistan.
Hivi kuna uwezekano wakuishi maisha bora ya kiuwanajeshi zaidi ya yale aliyoishi Sa’ad ibn Mu’adh (ra) ambaye alitoa Nusra ya kusimamisha Uislamu kama serikali na kisha akawang'oa maadui katika vita vya Badr?
Kuendelea na amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan katika mikoa na wilaya tofauti za nchi ili kuunda rai jumla ya umma ambayo inafahamu hukmu za Uislamu na suluhisho zake zinazohusiana na hali mbaya ambayo watu wanaishi ndani yake, ikiwakilisha utovu wa usalama na mapigano endelevu kati ya makabila tofauti tofauti, na kutoa wito wa kutekelezwa kwa usekula katika dola na jamii, na wanasiasa vibaraka, na wale waliopagawishwa na thaqafa ya Kimagharibi ...
Afisi Kuu ya Habari: Kalima ya Dkt. Nazreen Nawaz kwa Mnasaba wa Kuja kwa Mwezi wa Baraka wa Ramadhan 1442 H
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafurahi kuwasilisha kwa wafuasi na wageni wa kurasa za Afisi Kuu ya Habari silsila ya video mpya katika vipindi vya Al-Waqiyah TV kwa anwani "Kutoka kwa Thaqafa Yetu",