Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Khutba ya Idd Al-Fitr 1443 AH - 2022 M
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
“Utiifu kwa Wenye Mamlaka katika Kuanza Kufunga na Kufungua Saumu”
“Utiifu kwa Wenye Mamlaka katika Kuanza Kufunga na Kufungua Saumu”
Katika muendelezo wa amali za umma zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan, ili kuuamsha Umma wa Kiislamu na kuimarisha azma yake ya kusimamisha Dola ya Khilafah Rashida upya,
Mnamo tarehe 15 Ramadhan 1443 H, katika Ukumbi wa Jiji la Dosa, Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan ilifanya iftar ya Ramadhan ya kila mwaka, iliyohudhuriwa na mkusanyiko mkubwa wa wanasiasa, wanahabari, wanazuoni,
Katika muendelezo wa amali za umma zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan, ili kuuamsha Umma wa Kiislamu na kuimarisha azma yake ya kusimamisha Dola ya Khilafah Rashida ya pili,
Matukio ya halaiki yaliyofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan katika mikoa mbalimbali ya nchi hiyo kwa ajili ya kuadhimisha miaka 101 ya kuangamizwa kwa Dola ya Khilafah, ili kuhuisha Umma wa Kiislamu ili stenyn motisha yao ya kusimamisha Dola ya Khilafah Rashida.
Amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ziliendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi hii ili kujenga rai jumla yenye ufahamu kuhusu hukmu za Uislamu na masuluhisho yake yanayohusiana na nidhamu tofauti tofauti za maisha.
Katika mwezi Mtukufu wa Rajab mwaka huu 1443 H / 2022 M na kwa mnasaba wa kumbukumbu mbaya ya wahalifu kuivunja Dola ya Kiislamu na kuuondoa mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) tarehe 28 Rajab 1342 H sawia na na Tarehe 3 Machi mwaka wa 1924 M.
Amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ziliendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi ili kujenga rai jumla yenye ufahamu kuhusu hukmu za Uislamu na masuluhisho yake yanayohusiana na mifumo tofauti tofauti ya maisha.
Amali za umma zinazofanywa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ziliendelea katika majimbo anuwai ya nchi ili kuunda rai jumla yenye utambuzi kuhusu vifungu vya Uislamu na masuluhisho yake yanayohusiana na nidhamu tofauti tofauti za maisha.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan imeendeleza amali umma inazozifanya katika maeneo mbalimbali ya nchi kutafuta rai jumla yenye kutambua hukmu za Uislamu na masuluhisho yake yanayohusiana na nidhamu tofauti tofauti za maisha,