Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 299
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 299
Vichwa Vikuu vya Toleo 299
Vichwa Vikuu vya Toleo 298
Vichwa Vikuu vya Toleo 297
Mnano July 7, 2020 ndani ya Krimea lilipita wimbi jengine la misako na ukamataji ambapo watu 7 waliwekwa kizuizini:
Vichwa Vikuu vya Toleo 296
Wanadamu hawajapatapo kushuhudia uhalifu mbaya zaidi katika zama hizi za sasa kuliko ule uhalifu uliofanywa na Waserbia nchini Yugoslavia ambako walitekeleza uhalifu wa kinyama tofauti tofauti dhidi ya Waislamu unaoufanya kuwa mbaya zaidi katika historia.
Vichwa Vikuu vya Toleo 295
Mnamo 2019, Luigi Di Maio, aliyekuwa naibu wa waziri mkuu wa Ufaransa na waziri wa masuala ya kigeni kwa sasa alisema “Ufaransa ni miongoni mwa nchi ambazo zinachapisha fedha kwa nchi 14 za Afrika ikizuilia ukuaji wao wa kiuchumi na kuchangia ukweli kwamba wakimbizi wanatoka na kisha kufa baharini ama kufika katika pwani zetu.”
Vichwa Vikuu vya Toleo 294
Vichwa Vikuu vya Toleo 293