Watawala Wafisadi, na sio Uislamu, ndio Sababu ya Umma wa Kiislamu Kuporomoka Kisayansi
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kampuni ya Marekani ya SpaceX ilifanikiwa kuzindua chombo cha uzinduzi aina ya Falcon 9, ambacho kilirusha takriban satelaiti 50 zaidi za Starlink kwenye obiti.



