Ijumaa, 06 Rajab 1447 | 2025/12/26
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Sera ya Kima cha Chini cha Mshahara ni ya Kinyonyaji na Hutumika kama Zana ya Kisiasa ya Kukuza Ubaguzi wa Rangi na Utabaka

Siku ya Jumapili Mei mosi 2022 rais wa Kenya Uhuru Kenyatta  alitangaza ongezeko la asilimia 12 kwa mshahara wa mfanyakazi kuanzia tarehi 1 Mei ili kuwa kwamua wafanyakazi ambao kwa sasa wanashuhudia mbano wa mfumko wa bei hasa bidhaa za vyakula na mafuta.

Soma zaidi...

Uhuru Hauwezekani Chini ya Mfumo wa Kidemokrasia wa Kirasilimali

Jitayarisheni na msubiri wito wangu kwa Islamabad, Imran Khan asema huko Lahore Jalsa “LAHORE: Mwenyekiti wa PTI Imran Khan Alhamisi aliwataka Wapakistani kujitayarisha kuanzisha kampeni ya "uhuru halisi" na kusubiri wito wake kwa Islamabad, huku Waziri Mkuu huyo aliyeng’atuliwa mamlakani akisisitiza hatakubali "serikali iliyoingizwa kutoka nje" kwa gharama yoyote.”

Soma zaidi...

Katiba za kutungwa na Wanadamu ni rahisi kukengeukwa na kubadilishwa

Mahakama ya Upeo imetoa uamuzi wa kuusambaratisha mradi wa ujenzi wa madaraja lakini ikafungua dirisha kwa vinara wa makubaliano ya ‘handshake’ kuanzisha marekebisho  mpya ya kikatiba. Kwenye uamuzi wake wa kihistoria, siku ya Alhamisi 31 Machi, 2022 jopo la majaji saba lilibatilisha hoja tano za mahakama ya rufaa zilizotumia kupinga mabadiliko ya kikatiba kama yalivyopendekezwa na mradi wa BBI.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu