Pongezi kutoka Kote Ulimwengu kwa Mnasaba wa Idd ul-Fitr Al-Mubarak 1445 H
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Pongezi kutoka kote Ulimwengu kwa Mnasaba wa Idd ul-Fitr Al-Mubarak 1445 H
Pongezi kutoka kote Ulimwengu kwa Mnasaba wa Idd ul-Fitr Al-Mubarak 1445 H
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Iregesheni Ramadhan katika Njia Yake ya Mwanzo”
Karibu Ramadhan, mwezi wa ushindi, mwezi wa bishara njema, mwezi wa kujadidishwa imani na kutakasa nyoyo, mwezi wa utiifu na kushindana katika mambo mema. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliyetufikisha Ramadhan, mwezi huu mtukufu ambao tunahisi ndani yake maana ya rehema na umoja baina ya Waislamu. Karibu, Ramadhan.
Huku umbile halifu la Mayahudi (Wazayuni) likiendelea na ulipuaji mabomu wa kinyama na kikatili wa Gaza, wanawake na watoto ndio wanaohimili uzito wa mauaji haya ya halaiki ambayo yamesababisha vifo na majeraha kwa zaidi ya wanaume na wanawake wa Kiislamu elfu 72 hadi kufikia sasa
Chini ya kauli mbiu (Enyi Umma wa Kiislamu, Nusra Nusra, Tusaidieni kabla Hatujamalizika), Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa Palestina iliandaa kisimamo kikubwa katika mji wa Al-Khalil mnamo Jumanne, 12 Disemba 2023 M, ambapo watu wa Palestina wanaume kwa wanawake, walielekeza wito wa haraka kwa Umma na majeshi yake na nguvu zake zilizo hai kutaharaki kwa haraka kunusuru Gaza na damu ya watoto wake, na kwa Palestina na watu wake na Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa.
Kampeni ya Kiulimwengu na Siku ya Wanawake Kuchukua Hatua Kuyaamsha Majeshi ya Waislamu na Wito kwao Kuwaokoa Wanawake wa Gaza na Watoto wake na Ukombozi Kamili wa Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)
Waislamu wa Gaza wanakabiliwa na mauaji ya halaiki na umwagaji damu ambao umepitiliza mikononi mwa umbile uaji halifu la Kiyahudi. Maelfu ya wanawake wasio na hatia na watoto wameuawa.
Waislamu wa Gaza wanakabiliwa na mauaji ya kimbari na umwagaji damu ambao umepitiliza mikononi mwa umbile uaji halifu la Kiyahudi.
Waislamu wa Gaza wanakabiliwa na mauaji ya kimbari na umwagaji damu ambao umepitiliza mikononi mwa umbile halifu la Kiyahudi. Maelfu ya wanawake wasio na hatia na watoto wameuawa. Wakati huo huo, Waislamu katika Ukingo wa Magharibi wangali wanauawa na kutishiwa na genge la Mayahudi.
Afisi Kuu ya Habari: Kitengo cha Wanawake “Ujumbe kwenda kwa Ndugu waliyomo ndani ya Hay’at Tahrir Ash-Sham!”