Trump na Putin: Kutoka Mapenzi hadi Chuki ni Hatua Moja tu
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Putin amemtishia Trump kwa “kuvunja mahusiano” endapo Ukraine itapokea makombora ya Tomahawk kutoka Marekani. (nv.ua)
Putin amemtishia Trump kwa “kuvunja mahusiano” endapo Ukraine itapokea makombora ya Tomahawk kutoka Marekani. (nv.ua)
Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza kuwa Waziri Mkuu wa “Israel” Benjamin Netanyahu amekubali mpango wenye vipengee 20 ambao ungemaliza vita katika Ukanda wa Gaza. Trump na Netanyahu walifanya mkutano wa pamoja na waandishi wa habari baada ya mkutano wao jijini Washington. Trump alisema kuwa amani ya Gaza ilikuwa karibu sana kupatikana na kumshukuru Netanyahu kwa kuidhinisha mpango huo (DW Turkish 29.09.2025).
Ni wazi, kwa wale wanaofanya kazi kwa ikhlasi kwa ajili ya kuhuisha Umma wa Kiislamu kupitia Uislamu, kile ambacho hali ya Ummah imefikia, kushambuliwa na mataifa mengine kama mwindaji anapolenga kwenye mawindo yake. Vile vile, ni dhahiri kwa wachunguzi jinsi Ummah unavyoelewa kwa uwazi uhalisia wake na kutambua sababu za mateso na maumivu yake. Kinachojulikana kwa Ummah kwa kiasi kikubwa kimefungika kwa makafiri wakoloni, watawala vibaraka, na tawala zilizowekwa na dola hizi za kikoloni juu ya shingo za Ummah ili kuukandamiza, kupora rasilimali zake, na kuuzuia kujikomboa kutoka kwa mshiko wa wakoloni kwa kusimamisha Khilafah kwa njia ya Utume.
Kama sehemu ya kampeni yake ya kukwamisha mpango wa kuichana Sudan kwa kutenganisha Darfur, Mashababu wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan walitoa hotuba ya kisiasa jijini Khartoum, katika eneo la Souq al-Dukhainat al-Awamirah, Jumamosi asubuhi, tarehe 4 Oktoba 2025.