Ni Khilafah Pekee kwa Mfumo wa Utume Ndio Itakayositisha Ubabe wa Marekani na Kuikomboa Falastin
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Utawala wa Marekani umeitaka Kenya kuunga mkono maslahi ya kisiasa na kibiashara ya taifa la ‘Israel’ la sivyo iachane kabisa na mkataba wa kibiashara huria (Free Trade Deal- FTA) iliosaini na taifa hilo kubwa la kiuchumi duniani.



