Ni Nani Atakayeihami Heshima ya Muhammad (saw)? Masekula wenye chuki wanaendelea kupatiliza fursa ya kuwepo na ombwe la uongozi wa kisiasa wa Kiislamu ulimwenguni leo
- Imepeperushwa katika Uingereza
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Kila mara watetezi wa chuki ya usekula hudai haki yao ya kuwatusi Waislamu kupitia uchomaji nakala zilizo chapishwa za Qur'an na kuchapisha vikaragosi vinavyomkejeli Mtume Muhammad (saw).



