Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 291
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Vichwa Vikuu vya Toleo 291
Vichwa Vikuu vya Toleo 291
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Syria: Kisimamo katika Kambi za Atma kwa Anwani ((قل للذين كفروا ستغلبون)) "Waambie walio kufuru: Karibuni mtashindwa...!" (Aali Imran: 12)
Kwa macho na nyoyo zilizojawa na machozi zilizo ridhia qadhaa ya Mwenyezi Mungu, Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan inaomboleza msamaha kwa Sheikh (kwa idhini ya Mwenyezi Mungu):
Hivi karibuni, Uchina imepeleka maelfu ya vikosi vya kijeshi katika Mstari Halisi wa Udhibiti (LAC) ikizidisha mvutano na majirani zao India. Kukabiliana na hatua hizi, India ikapeleka vikosi vingi ili kusaidia vilivyoko.