Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 290
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Vichwa Vikuu vya Toleo 290
Vichwa Vikuu vya Toleo 290
Mamluki 1200 wa Urusi wanapigana upande wa Haftar nchini Libya
Baada ya hukumu ya mahakama ya kijeshi dhidi ya Mkuu wa Afisi ya Kisiasa ya Hizb ut Tahrir / Wilaya Tunisia Ustaadh Abdel Raouf Amiri kutokana na suala la kusambaza taarifa kwa vyombo vya habari zinazohusu ziara ya Wazayuni mjini Djerba na ulinzi wa usalama na jeshi…
2019 – 2020 umekuwa ni mwaka mwengine wa mateso kwa Ummah wa Kiislamu.