Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 288
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Vichwa Vikuu vya Toleo 288
Vichwa Vikuu vya Toleo 288
Hotuba ya Dkt. Mohamed Ibrahim, Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir Wilaya Lebanon katika Maandamano, ambapo alialikwa na jamaa za wafungwa wa Kiislamu jijini Tripoli – Uwanja wa Nour.
Ama kuhusu kutoa pesa za kutosha kukabili milipuko kama hii, Uislamu umeuzidi sana Urasilimali, mfumo uliopo kwa sasa ulioundwa na mwanadamu ambao unatawala ulimwengu.
Katika munasaba wa Idd al-Adha 1440 H, Hizb ut Tahrir / Wilaya Lebanon iliandaa Matembezi ya Takbeer na Tahleel ambayo yalipita katika maeneo mbalimbali ya kaskazini mwa Lebanon.