Al-Waqiyah TV: Shikamaneni na Agano la Mwenyezi Mungu (swt), Iman na Nusrah (Usaidizi wa Kijeshi)!
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Shikamaneni na Agano la Mwenyezi Mungu (swt), Iman na Nusrah (Usaidizi wa Kijeshi)!
Shikamaneni na Agano la Mwenyezi Mungu (swt), Iman na Nusrah (Usaidizi wa Kijeshi)!
Jibu kwa Kongamano la Suluhisho la Dola Mbili!
Hizb ut Tahrir/Denmark iliandaa kikao, mbele ya ubalozi wa Misri katika mji mkuu wa Copenhagen cha kuwanusuru na kuwaombea nusra watu wetu mjini Gaza na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu, kutoka mto wake hadi bahari yake. Ustadh Abdul Rahman Muhammad, mwanachama wa Hizb ut Tahrir nchini Denmark, alitoa kalima kwa waliohudhuria.
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia ilifanya matembezi makubwa katika mji mkuu wa Tunis, mbele ya Msikiti wa Al-Fath baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 25 Julai 2025 M chini ya kichwa: “Serikali za Kijamhuri na za Kifalme Zimeisaliti Gaza... Kwa Khilafah tutainusuru Gaza”