Jumatano, 19 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/05/06
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Taasisi za Dola Nchini Tanzania Zimewakamata kwa Dhulma Wanachama Watatu wa Hizb ut Tahrir Bila ya Sababu Yoyote!

Hizb ut Tahrir / Tanzania inashutumu vikali vitendo vya mamlaka za dola zilizo wakamata wanachama wake watatu na kuwafungia pasi na kuwa na mawasiliano yoyote bila ya maelezo au uwakilishi wa kisheria kwa zaidi ya mwezi mmoja kinyume na sheria kisha kubuni mashtaka ya uongo na maovu dhidi yao ya 'njama ya kutekeleza ugaidi' na 'utekelezaji ugaidi'. 

Ufahamu wa Kimakosa Kuhusu Hizb ut Tahrir kuwa ni 'Chama cha Kisiasa'

Mara tu baada ya kumalizika kwa Kongamano la Kimataifa la Khilafah lililo andaliwa na Hizb ut tahrir Afrika Mashariki mnamo 27 Rajab 1430 H (19 Julai 2009) katika Msikiti wa Kichangani, Magomeni, Dar es Salaam, kongamano la kipekee lililo faulu lililo hudhuriwa na maelfu ya watu wa jinsia zote mbili, hisia mchanganyiko ziliibuka hususan kuhusiana na ufahamu wa kimakosa kuhusu maana ya Hizb ut Tahrir kuwa ni chama cha kisiasa.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu