Hotuba ya Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Rashtah, Amir wa Hizb ut Tahrir kuhusu kuanza kwa mwezi wa Dhul Hijjah 1438 Hijria
- Imepeperushwa katika Hotuba
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Kwa wabebaji da’awa wasafi na wachamungu, na hatusifu mtu yeyote kwa Mwenyezi Mungu, wale ambao husema maneno bora na kufanya kazi njema, ambapo Mwenyezi Mungu huwasifu wale ambao wana sifa hizo:
Ndugu zangu wapenzi mabwana na mabibi, nakupeni habari njema katika usiku huu wenye baraka kwa kuadhimisha matukio mawili muhimu sana:
Haishangazi kuwepo kwa aina hiyo ya watu na wafuasi wao, maadamu wema na ubaya
ungalipo ulimwenguni… watu aina hiyo wamekuwepo tangu zamani na wangalipo mpaka leo na
wanatarajiwa kuwepo siku za usoni vile vile.