Maisha haya ya dunia si chochote bali ni mafupi, kwa hiyo Tumcheni Mwenyezi Mungu (swt) kikamilifu
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Uendaji mbio, uchangamfu, uchukuliaji mambo kwa udharura na upangaji mipango na ufuatiliaji katika kufanya da’wah tuliouona katika maisha ya Mtume (saw) ilikuwa sio eti ana “dhibiti wa wakati”.



