Jumatano, 19 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/05/06
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Kutekwa Nyara na Kupotezwa kwa Lazima: Ishara ya Mfumo Uliofeli

Kenya inashuhudia wimbi kubwa la utekaji nyara na mauaji yanayolenga watu mbalimbali. Tume ya Kitaifa ya Haki za Kibinadamu ya Kenya (KNCHR) inaelezea wasiwasi wake juu ya ongezeko la kutisha la utekaji nyara, kupotezwa kwa lazima na mauaji ya kiholela kote nchini. Mwenendo huu ni wa kuchukiza. Baadhi ya makundi ya vijana waandamanaji waliandamana katikati mwa jiji la Nairobi mnamo siku ya Jumatatu, tarehe 30 Disemba, huku makundi madogo ya watu wengine wakipanga kuketi vikao vya kulaani huku mawingu ya vitoa machozi yakitanda hewani. Waliimba kauli mbiu dhidi ya serikali, huku wengine wakiwa na mabango ya kulaani kuwekwa kizuizini kinyume cha sheria huku polisi waliokuwa wamepanda farasi wakishika doria karibu na hapo.

Mgawanyiko wa Umma wa Kiislamu na Athari zake za Sumu

Kuongezeka kwa kasi kwa uhasama kati ya Pakistan na Afghanistan katika wiki iliyopita kumesababisha kifo cha mwanajeshi mmoja wa vikosi vya usalama vya Pakistan na makumi ya raia nchini Afghanistan. Raundi hii ya hivi punde ya mapigano ya kuvuka mpaka inatokana na kile Pakistan ilisisitiza kuwa ni jibu lake kwa mashambulizi ya mara kwa mara ya kundi lenye silaha la Tehreek-e-Taliban Pakistan (TTP), ambalo Islamabad ilisema limepata kimbilio katika mpaka wa Afghanistan. Shambulizi la hivi punde zaidi la TTP, mnamo Disemba 21, lilisababisha vifo vya wanajeshi 16 wa Pakistan.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu