Al-Waqiyah TV: Mahojiano na Ummah wa Kiisilamu Juu ya Tukio la Ukumbusho waa 99 wa Kuvunjwa kwa Dola ya Khilafah
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa muongozo wa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amlinde, Hizb ut Tahrir imezindua kampeni pana ya kiulimwengu ya ukumbusho wa 99 Hijria wa Kuanguka kwa Khilafah mnamo 28 mwezi mtukufu wa Rajab 1342 H sawia na 3 Machi 1924 M.



