Alhamisi, 18 Ramadan 1445 | 2024/03/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Misri

H.  7 Rajab 1444 Na: 1444/09
M.  Jumapili, 29 Januari 2023

 Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Ushujaa wa Watu wa Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina Hauwezi Kushutumiwa!
(Imetafsiriwa)

France 24 iliripoti kwenye tovuti yake, Jumamosi, Januari 28, 2023, kwamba baadhi ya nchi za Kiarabu, ikiwemo Misri, Jordan na Imarati, zililaani shambulizi lililoua angalau 'Waisraeli' saba katika ufyatuliaji risadi uliowalenga waumini karibu na sinagogi la Kiyahudi katika mtaa wa makaazi katika Jerusalem Mashariki inayokaliwa kimabavu. Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri ilielezea "kupinga kwake kikamilifu na kulaani vikali shambulizi la Jerusalem Mashariki," na kusisitiza "kulaani kwake operesheni zote zinazolenga raia." Katika taarifa yake, Misri ilionya juu ya "hatari kubwa ya kupamba moto inayoendelea kati ya pande za Wapalestina na 'Waisraeli," ikitoa wito wa "kujizuia kwa kiwango cha juu, na kukomesha uchokozi na hatua za uchochezi ili kuepusha kutumbukia katika mduara mbaya wa ghasia ambao unazidi kufanya hali ya kisiasa na kibinadamu kuwa mbaya, na inahujumu juhudi za utulivu na nafasi zote za kufufua mchakato wa amani.

Operesheni hii ya kishujaa na mtekelezaji wake, shujaa huyo, imeuchangamsha moyo wa Ummah, na kutuliza baadhi ya moto wa huzuni dhidi ya Mayahudi wanyakuzi wahalifu. Na watu wa Misri kwa jumla wamefurahi kutokana na operesheni hii, kama vile wanavyofurahi katika kila msiba unapolisibu umbile la Kiyahudi, ni wasawazishaji mahusiano pekee, watumwa wa mkoloni, ndio wanaoharakisha kulaani, na wale wanaoilaani Wizara ya Mambo ya nje ya Misri na kulaani mauaji yao ni waporaji wa ardhi ya Kiislamu iliyobarikiwa, na wao sio ahl ul-dhimma wala raia salama, na kupigana nao na kuwatoa humo ni wajibu wa Ummah mzima na jukumu la Misri na jeshi lake.

Enyi Wenye Ikhlasi Katika Jeshi la Kinana! Tunakukumbusheni Mwenyezi Mungu ambaye mnamuabudu na mnayempigia magoti, na tunakukumbusheni yale ambayo Mwenyezi Mungu amewausia juu yenu katika kuinusuru Dini yenu na Ummah wenu na faradhi wa kuikomboa ardhi yake na kuwalinda watu wake na matukufu ambayo Mayahudi wanayakiuka chini ya masikio na macho ya serikali zinazokuajirini nyinyi kuilinda. Watawala hawa ndio ‘kuba’ halisi linalolilinda umbile la Kiyahudi, na lau si kuwepo kwao, lisingekaa katika ardhi ya Uislamu, na wao wanalijua hili na ukubwa wa udhaifu wa umbile lao.

Nyinyi ni kizazi cha mkombozi Amr ibn al-Aas, mkombozi Salah al-Din, mkombozi wa Vita vya Msalaba na mkombozi wa al-Aqsa, na al-Muzaffar Qutuz, mkombozi wa Wamongolia, na nyinyi ndio ngao ya Ummah huu. Kwa hivyo, ziamsheni kumbukumbu za historia tena na jikomboeni kutoka kwa utawala wa Magharibi na vibaraka wake, na toeni kamba zote shingoni mwenu zinazokufungeni kwa watawala walioziuza nafsi zao kwa Magharibi na kuitolea nchi, rasilimali zake na majeshi yake kuhudumia maslahi yake na kulinda usalama wake. Jikomboeni na muungane na Ummah wenu, pamoja nanyi Ummah utakombolewa na utaregesha mamlaka yake, basi unusuruni kwa kusimamisha dola inayotabikisha Uislamu kikamilifu, kuzihuisha roho kwayo na kurudisha heshima kwa Ummah; Khilafah iliyoongoka kwa Njia ya Utume.

(يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ)

“Enyi mlio amini! Muitikieni Mwenyezi Mungu na Mtume anapo kuitieni jambo la kukupeni uzima wa milele.” [Al-Anfal 8:24]

Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Misri

Fuatilia na Usambaze Alama Ishara za Kampeni:

#Time4Khilafah

#EstablishKhilafah

#ReturnTheKhilafah

#TurudisheniKhilafah

#KhilafahBringsRealChange

#بالخلافة_يحصل_التغيير_الحقيقي

أقيموا_الخلافة#

كيف_تقام_الخلافة#

#YenidenHilafet

 #HakikiDeğişimHilafetle

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Misri
Address & Website
Tel: 

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu