Jumamosi, 22 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/05/09
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kitengo cha Wanawake cha Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Chafanya kwa Mafanikio Kongamano la Kimataifa la Wanawake Mtandaoni “Ukombozi wa Palestina... Changamoto na Bishara Njema”

Kitengo cha Wanawake cha Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir, kwa uratibu na wanawake wa Hizb ut Tahrir kote ulimwenguni, kilifanya kongamano la kimataifa la wanawake mtandaoni lenye mafanikio kwenye jukwaa la Zoom kwa kichwa “Ukombozi wa Palestina: Changamoto na Bishara Njema” mnamo siku ya Jumamosi, Oktoba 5, 2024. Mamia ya wanawake wanaozungumza Kiarabu kutoka kote duniani walihudhuria kongamano hilo, katika ukumbi wa mikutano na kwenye kurasa za Facebook za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir. Wazungumzaji kutoka Palestina, Tunisia, Syria, Lebanon, Indonesia na Amerika walishiriki katika kongamano hilo.

Soma zaidi...

Kuinusuru Gaza si kupitia Hotuba na Sherehe, Enyi Wanazuoni!

Mnamo siku ya Alhamisi, tarehe 26 Septemba, shughuli za Wanazuoni wa Mpango wa Umma wa Kukinusuru Kimbunga zilizinduliwa kwa mnasaba wa mwaka wa kwanza wa Hijri tangu kutekelezwa kwa Kimbunga cha Al-Aqsa katika tamasha kubwa la umma katika mji wa Istanbul. Tamasha hilo lilishuhudia ushiriki wa idadi kubwa ya wanazuoni wa Kiislamu ana kwa ana au kupitia hotuba zilizorekodiwa, pamoja na mamia ya Waturuki na wanachama wa jumuiya za Kiarabu wanaoishi Istanbul.

Soma zaidi...

Mwaka Umepita na Kimbunga cha Al-Aqsa Kingali Kinatuma Mafunzo na Maadili

Ulimwengu mzima umeona katika mwaka huu tangu kutekelezwa kwa Operesheni Kimbunga cha Al-Aqsa hadi leo ukweli kuhusu Mayahudi na sifa zao ambazo Mwenyezi Mungu Mtukufu alitueleza katika Kitabu chake Kitukufu. Hao ni watu wa kashfa, na wanawakanusha manabii na hata kuwaua na kila anayesema ukweli. Hao ni wavunja ahadi, viumbe waoga zaidi wa Mwenyezi Mungu, na walio makini zaidi katika maisha.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Amali Kubwa “Mwaka Mzima umepita, na Nchi 57 Hazijachukua Hatua Yoyote!”

Hizb ut Tahrir/ Wilayah ya Uturuki iliandaa baada ya swala ya Ijumaa matembezi na visimamo vikubwa katika miji 16 kote nchini Uturuki, kama ambavyo Hizb pia iliandaa makongamano, vikao na mikutano mikubwa chini ya kichwa: “Mwaka Mzima umepita, na Nchi 57 Hazijachukua Hatua Yoyote!”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Uholanzi: Matembezi mjini Amsterdam “Miaka 75, na Mwaka Mmoja wa Mauaji ya Halaiki mjini Gaza!”

Hizb ut Tahrir / Uholanzi iliandaa matembezi katika mji mkuu wa Uholanzi, Amsterdam, kwa mnasaba wa kupita mwaka mmoja kamili wa vita vya mauaji ya Halaiki dhidi ya Waislamu wa mji wa Gaza Hashem, kunusuru na kuiombea nusra na Izza Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na Gaza.

Soma zaidi...

Je, Kura ya Kutokuwa na Imani ni Mchakato wa Kisiasa au wa Kimahakama?

Wabunge nchini Kenya wameanza mchakato wa kumwondoa naibu rais wa nchi hii afisini. Wale wanaounga mkono juhudi hizo wanamshutumu Rigathi Gachagua kwa kuhusika katika maandamano ya Juni ya kupinga serikali - ambayo yaligeuka kuwa mabaya - pamoja na kuhusika katika ufisadi, kuhujumu serikali na kuendeleza siasa za mgawanyiko wa kikabila. Naibu rais amepuuzilia mbali madai hayo.

Soma zaidi...

Msimamo Dhaifu wa Watawala wa Pakistan kwa Kashmir Inayokaliwa Kimabavu Wampa Ujasiri Mvamizi India

Msimamo dhaifu wa watawala wa Pakistan ni kwa sababu ya ubaraka wao kwa Amerika. Hata kabla ya kuisalimisha Kashmir kwa India mnamo Agosti 2019, watawala wa Pakistan hawakuwa makini kuhusu ukombozi wa Kashmir Inayokaliwa kimabavu. Watawala wa Pakistan walifuata tu sera ya Amerika ya kutoa shinikizo kwa India, ili iingie kwenye kambi ya Amerika. Baada ya India kuingia katika kambi ya Marekani kupitia kundi tawala la Hindutva, watawala wa Pakistan waliachana na Kashmir Inayokaliwa kimabavu ili kuifurahisha Amerika.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu