Alhamisi, 20 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/05/07
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Taasisi ya Afisi ya Rais na Kushindwa Kifikra Kuikabili Hizb ut Tahrir

Mnamo Jumanne, tarehe 30/8/2022, ujumbe kutoka Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Tunisia, ukiongozwa na Ustadh Yassin Bin Yahia, wakiwemo wajumbe Ustadh Al-Habib El Madini na Mohammad Ali Bin Salim, walitembelea Taasisi ya Tunisia ya Mafunzo ya Kimkakati, ambayo ni taasisi rasmi chini ya usimamizi wa Afisi ya Rais wa Jamhuri.

Soma zaidi...

Urusi Yaimarisha Uwepo wa Kijeshi katika Asia ya Kati

Waziri wa Ulinzi wa Urusi Sergei Shoigu alitangaza nia ya Moscow ya kuimarisha kambi za kijeshi nchini Tajikistan na Kyrgyzstan kuhusiana na hali nchini Afghanistan. Mkuu huyo wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi alitoa taarifa hiyo dhidi ya mazingira ya mazoezi ya kijeshi nchini Tajikistan "Ushirikiano wa Kikanda - 2022" pamoja na ushiriki wa nchi za Asia ya Kati, Amerika, Mongolia na Pakistan.

Soma zaidi...

Huzuni ya Watawala wa Waislamu juu ya Kifo cha Malkia wa Uingereza, Inatokana na Kujitolea kwao kwa Ukoloni wa Magharibi

Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, aliandika kwenye anwani yake rasmi ya Twitter mnamo 8 Septemba 2022, “Nimehuzunishwa sana na kifo cha Mtukufu Malkia Elizabeth II. Pakistan inaungana na Uingereza na mataifa mengine ya Jumuiya ya Madola kuomboleza kifo chake.”

Soma zaidi...

Mazoezi Makubwa ya Kijeshi yenye Lakabu “Simba Mwenye Hamu 2022” nchini Jordan kwa Mara ya 10 Marekani Haitaweza Kutangaza Vita vyake dhidi ya Uislamu na Waislamu

Mnamo Jumapili, Amri Kuu ya Kijeshi ya Marekani (CENTCOM) ilitangaza kuanzisha mazoezi ya pamoja ya kijeshi nchini Jordan, ikisisitiza kujitolea kwa Washington kwa washirika wake katika Mashariki ya Kati kwa ulinzi wa pamoja dhidi ya matishio mbalimbali.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu