Raia wa Kiulimwengu – Ajenda ya Kimagharibi
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Athari za ukoloni na ukoloni mamboleo kwenye mfumo wa elimu katika nchi za Waislamu zimekuwa wazi kwa Umma wa Kiislamu.
Athari za ukoloni na ukoloni mamboleo kwenye mfumo wa elimu katika nchi za Waislamu zimekuwa wazi kwa Umma wa Kiislamu.
Mwenyezi Mungu abariki juhudi zako na aufanye Ummah kufaidika kutoka kwako, Ameer wetu mashuhuri, na kukunusuru kwa ushindi, uwezeshaji, na alifanye hili liwe katika mizani ya matendo yako mema, InshaAllah. Nina swali ikiwa utaniruhusu.
Serikali ya Australia inatarajiwa kutoa maelezo ya madai ya uhalifu wa kivita uliofanywa na Vikosi vya Ulinzi vya Australia nchini Afghanistan.
Amerika iko njia panda huku timu za wanasheria wa Trump na Biden wakichuana mahakamani kuhusiana na uchaguzi ghushi. Kwa upande mwingine, kampeni zao na vyombo vya habari vinavyowaunga mkono viko katika vita vya kipropaganda ili kujipigia upatu. Wafuasi wao hawana furaha na wanaandamana wakidai ushindi wao.
Halaiki ya watu wa kijiji cha Tel Karama viungani mwa Idlib ilijitokeza katika maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw).
Ni ipi hukmu ya kuswali na nguo zilizoyunyiziwa marashi yenye pombe? Mwenyezi Mungu akulipe kheri.
Nilikutana na Naveed Butt kwa mara ya kwanza mnamo 2000, na mara moja nikatekwa na ukweli, ushujaa na mvuto wake.
Nina swali linalohusiana na kanuni msingi hizi mbili: "La Hafifu katika Maovu Mwili au La Hafifu katika Madhara Mawili", zinazonukuliwa na wabebaji ulinganizi wengi na harakati nyingi za Kiislamu ili kushiriki katika uchaguzi wa ubunge na urais.
“Tarajio Lililosubiriwa Limekwisha Huku Biden Akishinda nchini Amerika Iliyogawanyika Vibaya.
Naveed Butt ni sura halisi ya uongozi katika dola ya Khilafah ijayo.