Jibu la Swali: Uzushi (Bid'ah) wa Kuwacha Masafa ndani ya Swala ya Jamaa
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hili hapa jibu la maswali juu ya Swala ya Ijumaa ambayo mumeuliza kuihusu:
Hili hapa jibu la maswali juu ya Swala ya Ijumaa ambayo mumeuliza kuihusu:
"Rais wa Azerbaijan, Ilham Aliyev alisema katika hotuba iliyopeperushwa kwenye runinga ya serikali jioni ya Jumapili tarehe 4/10/2020 kwamba Armenia lazima iweke ratiba ya kujiondoa kutoka katika eneo la Nagorno-Karabakh kabla ya kusitisha makabiliano yaliyofanyika huko takriban wiki moja iliyopita ... Aliyev alichukulia kuwa kuudhibiti mji wa Gabriel jana, Jumapili, ni funzo kwa Armenia na wafuasi wake, na inapaswa kuzingatia kutokana na hilo, kama alivyosema." (Al-Jazeera, 5/10/2020).
Maadhimisho ya mwaka wa kwanza ya India kubatilisha Kifungu cha 370 na 35A na kuongeza ukandamizaji wa Waislamu wa Kashmir yamepita kwa maneno matupu ya kawaida ya uongozi wa kiraia na kijeshi.
Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina): Visimamo vya Halaiki Kumnusuru Mtume Mtukufu (saw)
Vichwa Vikuu vya Toleo 310
Uislamu Umejengwa Juu ya Fikra Angavu na Hatupaswi Kukubali Chochote Kutoka kwa Watawala Wetu Kinyume na Hivi
Urasilimali Unafeli kwa Kila Kipimo: Ni Wakati Sasa wa Uchumi Mpya
Kamati ya Utendaji ya Kazan imefutilia mbali ruhusa ya Kituo cha Umma cha Tatar (ATPC) kufanya mnamo Oktoba 18 mkutano wa hadhara katika bustani ya Tinchurin kwenye hafla ya "Hәter kөne" - siku ya kila mwaka ya ukumbusho wa watetezi wa Kazan waliokufa kutoka kwa vikosi vya Kutisha vya Ivan mnamo 1552.
Watawala wa Sudan walijiunga na treni ya usaliti, baada ya kukubali rasmi kuanza hatua kuelekea usawazishaji wa mahusiano na umbile la Kiyahudi, kufuatia mazungumzo ya watu wanne ambayo yaliwakutanisha Al-Burhan
Kuna ombwe kubwa la kimfumo kote duniani, ambalo linadhihirika kwa Wamagharibi, kwa kiasi kikubwa kama ilivyo ndani ya ulimwengu wa Kiislamu, ikiwemo Pakistan.