TUFANI YA TWITTER KOMESHA Vitisho kwa Wanawake WachaMungu wa Kiislamu wa Kyrgyzstan!
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
TUFANI YA TWITTER KOMESHA Vitisho kwa Wanawake WachaMungu wa Kiislamu wa Kyrgyzstan!
TUFANI YA TWITTER KOMESHA Vitisho kwa Wanawake WachaMungu wa Kiislamu wa Kyrgyzstan!
Kyrgyzstan katika juhudi zake za kupambana na ile unayoitwa "misimamo mikali" imepelekea unyanyasaji mbaya kwa miaka mingi.
Hizb ut Tahrir/ Wilaya ya Sudan: Maandamano Dhidi ya Ziara ya Waziri wa Kigeni Nchini Sudan.
Vichwa Vikuu vya Toleo 301
Serikali ya Kyrgyz kwa Kutapatapa Inajaribu Kulinda Maadili ya Kisekula Kupitia Kuwapiga Vita wale wote Wanaoeneza Fikra za Kiislamu
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilianzisha kampeni pana ya kufichua uhalifu wa marekebisho katika bajeti ya mwaka 2020 na hilo ni kupitia amali za umma kadha wa kadha zilizofanywa iliyopita;
Janga la maambukizi ya virusi vya Korona linaendelea kuchua maisha ya watu wengi ulimwenguni pia limepelekea kusitishwa kwa amali nyingi za kiuchumi; na kuharibu njia za watu za kujikimu kimaisha.
Katika mahojiano ya runinga, yaliyopeperushwa mnamo 18 Agosti 2020, Imran Khan alikataa kulitambua umbile la kihalifu la Kiyahudi, lakini kwa uangalifu akaweka kukataa kwake sharti la kukombolewa Palestina.
Kila mwaka katika siku hii, Tarehe Moja Muharram al-Haraam, Waislamu hukumbuka kumbukumbu inayonukia kutoka katika historia ya hadhara yao tukufu; kumbukumbu ya kuzaliwa Ummah bora ulioletwa kwa watu, kupitia kusimamishwa Dola ya Haki duniani,
Ningependa kuuliza kuhusu tabarruj. Tunaifafanua vipi na tunaitumia vipi? Ninavyojua ni kuwa tabarruj yamaanisha kuonyesha mapambo mbele ya mwanamume wa kando kisha kumvutia kutazama hayo mapambo au hata kututazama sisi.