Jumanne, 04 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/04/21
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Wilayah Pakistan: Kisimamo katika Jiji la Karachi cha Kuunusuru Msikiti wa Al-Aqsa Al-Mubarak!

Chini ya mazingira ya kambi katika ardhi iliyobarikiwa (Palestina) ya mashambuliozi ya mara kwa mara yanayofanywa na umbile la Kiyahudi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa na kuzingirwa kwake na kumiminiwa mabomu ambayo yameendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan iliandaa maandamano jijini Karachi ili kutoa wito na kutafuta nusra kutoka kwa majeshi ya Kiislamu, miongoni mwao likiwa ni jeshi la Pakistan, kuunusuru na kuukomboa Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa.

Soma zaidi...

Kwa Kuifungulia Anga na Bahari Amerika, Serikali ya Bajwa-Imran Yatekeleza Dori ya Mwajiriwa wa Kati na Kati wa Kusahilisha Maslahi ya Amerika Nchini Afghanistan

Waislamu wa Pakistan na vikosi vyao vya kijeshi wanapinga dori ya serikali ya Bajwa-Imran ya kuwa mwajiriwa mwenye kusahilishia jeshi la Amerika nchini Afghanistan, pamoja na idhini yake kuifungulia Amerika anga na bahari ili kuweza kusaidia uwepo wake wa kimsalaba nchini Afghanistan.

Soma zaidi...

Uingereza: Visimamo Viwili vya Kuunusuru Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa!

Chini ya mazingira ya kambi juu ya Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kutokana na mashambulizi endelevu ya umbile la Kiyahudi dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa na kuzingirwa kwake na makombora ambayo yamekuwa yakiendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut-Tahrir / Uingereza iliandaa visimamo viwili jijini London na Birmingham vya kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina).

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu