Wilayah Syria: Kisimamo cha Atma "Muumini si Mdanganyifu, Wala Hahadaiwi na Mdanganyifu"
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wilayah Syria: Kisimamo cha Atma "Muumini si Mdanganyifu, Wala Hahadaiwi na Mdanganyifu"
Wilayah Syria: Kisimamo cha Atma "Muumini si Mdanganyifu, Wala Hahadaiwi na Mdanganyifu"
Wilayah ya Tunisia: Kisimamo cha Kitengo cha Wanawake mbele ya Bunge, "Imetosha Kuchochea dhidi ya Hukmu za Sharia kwa kutumikia Ajenda za Kigeni."
Mnamo tarehe 06/12/2020 chama kikuu cha upinzani cha Zanzibar Alliance for Change and Transparency-ACT-Wazalendo kilitangaza kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU). Halafu mnamo tarehe 07/12/2020, Rais Hussein Mwinyi alimteua Seif Sharrif Hamad wa ACT kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na mnamo 08/12/2020 sherehe ya kuapishwa ilifanyika Ikulu ya Zanzibar.
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed Ali mnamo Jumatano, 4 Novemba 2020, alitangaza mashambulizi ya kijeshi katika eneo la kaskazini la Tigray. Kampeni ya kijeshi iliyodaiwa kuulenga uongozi wa Tigray People’s Liberation Front (TPLF).
Vichwa Vikuu vya Toleo 317
Wilayah ya Pakistan: Naveed Butt "Uislamu Unakataa Utabikishaji Kidogo Kidogo!"
Gazeti la kila siku la Al-Thawra linalochapishwa jijini Sanaa mnamo tarehe 09/12/2020 lilichapisha ripoti iliyoungwa mkono na picha za kuvuja kwa kila siku kwa idadi kubwa ya mafuta ghafi
Baada ya Waislamu kuihisi hali mbaya waliokuwa wakiishi, utambuzi wa baadhi yao ukaanza kupata nguvu kuelekea kwenye kubadilisha ukweli huu.
Chansela wa Austria Sebastian Kurz alitangaza mnamo tarehe 11 Novemba nia ya serikali kuunda kifungu kipya cha makosa ya jinai chini ya jina "Uislamu wa kisiasa",
Jukwaa la Shirika la Habari la Sudan (SUNA) lilikuwa mwenyeji wa Kitengo cha Kupambana na Unyanyasaji dhidi ya Wanawake na Watoto ili kuzungumza juu ya kampeni ya kupambana na unyanyasaji dhidi ya wanawake na kutangaza uzinduzi wa kampeni ya siku 16 ya kupambana na unyanyasaji na ubaguzi,