Jumatano, 19 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/05/06
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ukiritimba wa Kisiasa wa Vifaa vya Ujenzi Zanzibar: Pigo Jengine kwa Masikini

Tunaitahadharisha kwa dhati kabisa serikali ya Zanzibar kuepusha kufadhaisha zaidi sekta ya ujenzi inayofanya maisha ya mtu wa kawaida kuwa magumu zaidi hasa katika harakati zao za kumiliki nyumba. Kwa kufanya na kusababisha hali ya ugumu na ukali katika maisha ya watu ni dhulma za wazi kwa raia na khiyana kwao na itahesabiwa vikali na Mwenyezi Mungu Mtukufu kesho Akhera na kufanya mambo kuwa magumu zaidi katika maisha haya.

Soma zaidi...

Hotuba ya Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Sudan katika Mkutano na Waandishi wa Habari kwa Anwani: Makubaliano ya Entebbe, Bwawa la Al-Nahdha, na Kupuuza kwa Watawala Maslahi Muhimu ya Ummah

Makubaliano ya Entebbe ambayo yanaonyesha wazi njama dhidi ya haki za maji za Misri na Sudan, kiwango cha uzembe wa watawala wa Misri na Sudan, na msimamo wao dhaifu kuelekea njama zinazofanyika.

Soma zaidi...

Udanganyifu wa Chaguo: Kwa nini Upigaji Kura katika Mfumo wa Kisekula Unawabwaga Waislamu

Jamii ya Kiislamu ina majukumu muhimu, ndani na kimataifa. Ndani ya nchi, Waislamu wanapaswa kuunda majukwaa yao ya kisiasa, si kwa madhumuni ya kupiga kura, bali kuimarisha kitambulisho cha Kiislamu, kujenga mafungamano ya jamii, na kushiriki katika dawah. Kwa kushughulikia masuala ya kijamii kama vile ukosefu wa makao, mwanya wa kiuchumi, na maadili ya kifamilia, Waislamu wanaweza kuonyesha masuluhisho ya Uislamu kwa matatizo ya kijamii, wakiyawasilisha kama jibu kwa changamoto za kisasa. Uwepo imara wa Waislamu, katika jamii na kwenye mitandao ya kijamii, unaweza kushajiisha kutafakari juu ya hekima ya mafundisho ya Kiislamu.

Soma zaidi...

Makala ya Hivi Punde ya New York Times ni Mfano Mwingine wa Mkakati wa Kugawanya wa Marekani Miongoni mwa Mujahidina wa Afghanistan

Mnamo Oktoba 24, The New York Times ilichapisha makala kutokana na mahojiano na Waziri wa Mambo ya Ndani wa sasa wa Afghanistan, ikiwa ni pamoja na moja yenye kichwa, “Je, Mwanamgambo Aliyetafutwa Zaidi Afghanistan Sasa Ni Tumaini Lake Bora la Mabadiliko?” Makala hizi zinalenga kuleta mgawanyiko na kuwaelekeza baadhi ya Mujahidina katika maslahi ya Marekani.

Soma zaidi...

Kuanguka kwa Kile Kilichosalia cha Jani la Mtini Lililochakaa ambalo Hadhara ya Magharibi Inafikiri Inaficha Aibu Yake!

Kazi ya kulizika zimwi hili ni wajibu kwa Umma wa Kiislamu, kwani ndio mmiliki wa hadhara badali iliyostaarabika ambayo inaweza kwa sifa zote kuuendeleza wanadamu kwa maadili ya kibinadamu ambayo Mwenyezi Mungu amewachagulia watu wote. Umma lazima uasisi chombo cha kisiasa ambacho kinawakilisha hadhara ya kimungu ya Kiislamu ambacho, kwa msaada wa Mwenyezi Mungu, itaiondoa batili na kuipa ushinda haki. Hivyo basi, watu wote wenye ikhlasi katika Ummah lazima wafanye kazi ya kusimamisha Dola ya Khilafah kwa njia ya Utume kwa kuyataka majeshi ya Waislamu kukata mikono ya Magharibi katika nchi zetu.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Mkutano na Waandishi wa Habari “Makubaliano ya Entebbe, Bwawa la Al-Nahdha, na Kupuuza kwa Watawala Maslahi Muhimu ya Umma”

Hizb ut-Tahrir / Wilayah Sudan ilifanya mkutano na waandishi wa habari mnamo siku ya Jumamosi tarehe 23 Rabi’ al-Akhir 1446 H sawia na 10/26/2024 M katika afisi yake mjini Port Sudan, wenye kichwa: “Mkataba wa Entebbe, Bwawa la Al-Nahdha, na watawala kupuuza maslahi muhimu ya Umma”.

Soma zaidi...

Viumbe Vidhalilifu Zaidi Vyatishia na Kuahidi! Je, Mtajibu Vipi?

Ulimwengu mzima umeshuhudia athari kubwa ya Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa kwa jeshi la umbile la Kiyahudi, ambalo lilijivunia nguvu, uwezo, ufikiaji, na uwezo wake wa kijasusi, hadi wakawadanganya walimwengu kwamba wao ndio jeshi lisiloshindwa na kwamba wao ndio wenye nguvu kuu katika Mashariki ya Kati, mlinzi wa maslahi ya Magharibi katika kanda hiyo, na kiongozi wa Amerika na Uingereza.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu