Kwa nini Mahusiano na Syria Yanarekebishwa?
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo mwezi Mei, kiongozi wa Syria anayezozana, Bashar al-Assad alizuru Saudi Arabia kwa ajili ya Mkutano wa Umoja wa Nchi za Kiarabu.
Mnamo mwezi Mei, kiongozi wa Syria anayezozana, Bashar al-Assad alizuru Saudi Arabia kwa ajili ya Mkutano wa Umoja wa Nchi za Kiarabu.
Mnamo Mei 7, 2023, msichana wa miaka 15 nchini Amerika alipatikana amekufa kwenye jaa baada ya kutoweka kwa siku tatu.
Mnamo tarehe 7 Mei, Hay’at Tahrir al-Sham (HTS), alivamia nyumba za wanachama wa Hizb ut Tahrir na kuwaweka kizuizini wanachama wake 18. Uhalifu wao ukiwa ni, mara kwa mara kuufahamisha Ummah kwa mitazamo sahihi ya Kiislamu wakati unapoamiliana na masuala mengi ndani ya Syria.
Watu wanaondoka Pakistan kwa wingi. Mnamo 2022 pekee, zaidi ya Wapakistani 800,000 waliondoka nchini mwao kutafuta maisha bora ng’ambo. Sio tu ukosefu wa utulivu wa kisiasa na ukosefu wa usalama wa kiuchumi ndio unaochangia msafara huu wa watu wengi, lakini pia dhana kwamba kuhamia nchi ya Magharibi kutatufanya kuwa na furaha zaidi.
Katika hotuba yake ya kuapishwa mnamo tarehe 29 Mei 2023, rais wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu alimaliza ruzuku ya mafuta kwa mujibu wa upeanaji wa utawala wa rais wa zamani wa Nigeria Muhammadu Buhari.
Pamoja na mjadala wa Kuachana na Dolari, inakuja moja ya chaguzi badali za sarafu. Tunajua kuwa dolari haitabadilishwa katika mfumo huu, hata kama nchi zitaanza kuondoka kutoka kwa dolari kwenda kwa sarafu zengine kwa kujaribu kupunguza utegemezi wao kwa sarafu ya Amerika.
Hukmu kubwa imepitishwa na Mahakama ya Shirikisho ya Shariah ya Pakistan. Ilitangaza vifungu vichache vya sheria ya Waliobadili Jinsia ya 2018 kama kinyume na Uislamu. Kwa hivyo, vitakoma kutekelezwa, ilhali sheria iliyosalia itabaki kutekelezwa.
Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan alikamatwa kwa kasi na maafisa wa kutuliza ghasia alipokuwa mahakamani kujibu mashtaka ya ufisadi na uchochezi. Wafuasi wa Khan waliingia mabarabarani, wakiteketeza magari, kushambulia kambi za jeshi pamoja na nyumba za baadhi ya makamanda.
Mnamo tarehe 6 Mei 2023, BBC iliripoti kuwa mamia ya wanawake wamegoma kula katika gereza moja la Iraq katika mji mkuu wa Baghdad. Wanapinga kuzuiliwa kwao kwa kuwa sehemu ya kundi la Dola ya Kiislamu, baada ya kile wanachosema kuwa ni kesi zisizo za haki. Kundi hilo linasemekana kujumuisha raia wa kigeni kutoka Urusi, Uturuki, Azerbaijan, Ukraine, Syria, Ufaransa, Ujerumani na Marekani. "Inafikiriwa kuwa takriban watoto 100 pia wanazuiliwa katika kituo hicho".
Kuna mjadala unaokua kuhusu iwapo mabadiliko kuelekea kwenye matumizi ya sarafu nyenginezo tofauti na dolari katika mikataba fulani ya kibiashara itasababisha mchakato wa kuiondoa dolari, na ikiwa hii itasababisha kupunguzwa kwa utawala wa dolari katika mfumo wa sasa wa dunia.