Ijumaa, 10 Shawwal 1445 | 2024/04/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ushirikiano wa Umoja wa Mataifa Pamoja na Wale Waliohusika na Mauwaji ya Halaiki ya Assad Dhidi ya Raia

Mnamo Julai 27, shirika la Amnesty lilichapisha makala inayoeleza kuwa Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Syria unafanyakazi moja kwa moja na kundi la – Umoja wa Kitaifa wa Wanafunzi wa Syria (NUSS) – ambalo linatuhumiwa kwa kuusaidia utawala wa Assad katika mauwaji yake ya halaiki dhidi ya wasio na hatia wanaopinga utawala wake nchini humo.

Soma zaidi...

Hukumu za Kifo za Al Sisi na Tukio la Ajabu la Erdogan na Misri

Katika muda wa miaka 10 kamili iliyopita, Erdogan, alipokuwa bado ni Waziri Mkuu wa Uturuki wakati huo, alitembelea Misri na kukutana na wawakilishi wa makundi tafauti na vyama vya kisiasa, pamoja na wagombea uraisi, katika kipindi cha mpito baada ya utawala wa Mubarak, ambao umeangushwa na Mapinduzi ya Kiarabu.

Soma zaidi...

Mazungumzo ya Vienna na Maslahi ya Amerika

Mnamo Juni 13, 2021: “Mazungumzo yasio ya moja kwa moja baina ya Tehran na Washington juu ya kufufua mkataba wa nuklia wa Iran wa 2015 yalianza tena mjini Vienna siku ya Jumamosi huku Muungano wa Ulaya ukisema majadiliano hayo yalikuwa “magumu” na Ujerumani ilitaka maendeleo ya haraka…

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu