Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Maoni ya Habari 24/01/2024
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa Mabadiliko ya Kweli… Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Kwa Mabadiliko ya Kweli… Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Kama sehemu ya amali za Rajab, juu ya ukumbusho wa kuvunjwa kwa Khilafah, na chini ya jkichwa “Miaka 103 tangu Kuvunjwa kwa Khilafah... Maumivu na Matumaini ya Umma wa Kiislamu,” Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan ilifanya, na ndani ya msururu wa vikao vitatu vya mwezi wa Rajab katika mji wa Gadharef.
Katika mwezi Mtukufu wa Rajab wa mwaka huu, 1445 H - 2024 M, inarudi tena kumbukumbu uchungu ya 103 ya kuvunjwa Dola ya Kiislamu na wahalifu wa Kiarabu na Kituruki, ambayo ilianzishwa na Bwana wa Mitume wote Muhammad, rehma na amani za Mwenyezi Mungu zimshukie, na maswahaba zake watukufu, Mwenyezi Mungu awe radhi nao, na kuondolewa kwa Mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo tarehe 28 Rajab Tukufu katika mwaka wa 1342 H sawia na 3 Machi 1924 M
Maoni ya habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Kwa Mabadiliko ya Kweli… Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Kwa Mabadiliko ya Kweli… Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Hizb ut Tahrir / Bangladesh yaandaa kongamano kwa kichwa:
“Hotuba kwa Umma na Ulinganizi Maalum kwa Maafisa Wanyoofu wa Majeshi!”
Maoni ya habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Kwa Mabadiliko ya Kweli… Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Hizb ut Tahrir nchini Uingereza iliandaa kongamano kubwa kwa kichwa:
“Jibuni Wito: Ikomboeni Palestina!”
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Uturuki iliandaa makongamano makubwa ya halaiki katika miji na maeneo Hamsini chini ya kichwa:
“Ujasiri wa Upinzani dhidi ya Ukaliwaji Kimabavu!”
Uhalifu mwingine mpya imeongezwa katika orodha ya ukatili unaofanywa na serikali ya China inayoendesha vita vikali dhidi ya Uislamu na Waislamu. Utawala wa China ulitangaza kifo cha Syed Jahan Muhammad Khanovich Nodirov kutoka Andijan, mwanachama wa Hizb ut Tahrir, mnamo Novemba 28, 2023.