Jumatatu, 30 Rajab 1447 | 2026/01/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:

Kongamano la Khilafah la kila Mwaka “Kuhalalisha Mahusiano na Kujisalimisha au Ahadi ya Mwenyezi Mungu na Dola ya Kiislamu?!”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon yaandaa kongamano lake la kila mwaka kwa kichwa:

“Kuhalalisha Mahusiano na Kujisalimisha au Ahadi ya Mwenyezi Mungu na Dola ya Kiislamu?!”

Kwa mnasaba wa kumbukumbu uchungu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa dola ya Khilafah

Mnamo 28 Rajab 1342 H sawia na 3 Machi 1924 M

Basi kuweni pamoja nasi.

Jumamosi, 28 Rajab Tukufu 1447 H – 17 Januari 2026 M

- Matangazo ya Moja kwa Moja ya Amali za Kongamano la Khilafah la kila Mwaka -

https://rumble.com/v74feq4-430700620.html

- Matangazo ya Moja kwa Moja ya Amali za Kongamano la Khilafah la kila Mwaka kutoka Tovuti ya Chaneli ya Al-Waqiyah -

https://www.alwaqiyah.tv/

Kwa Maelezo Zaidi Tafadhali Zuru Akaunti za Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:

Akaunti Rasmi ya Mtandano wa X ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Akaunti Rasmi ya Facebook ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu