- |
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- ukubwa wa font punguza ukubwa wa font zidisha ukubwa wa font
بسم الله الرحمن الرحيم
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:
Matembezi ya Takbir, Tahlil, na Tahmid 1446 H
Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon iliandaa maandamano ya Takbir, Tahlil, na Tahmid katika mji wa Tripoli, Syria, chini ya kauli mbiu "Tuko Pamoja nawe, ewe Gaza, tukipiga Takbir na Tahmid," kwa mnasaba wa ujio wa siku kumi za kwanza za Dhul-Hijjah 1446 H – 2025 M Idd al-Adha iliyobarikiwa. Matembezi hayo yalihitimishwa kwa dua ya kugusa moyo ya Sheikh Ahmed Al-Shamali.
Ijumaa, 03 Dhu al-Hijjah 1446 H sawia na 30 Mei 2025 M
- Dua ya Sheikh Ahmed Al-Shamali -
Kwa Mengi Zaidi Tafadhali Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:
Akaunti Rasmi ya X Ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon
Akaunti Rasmi ya Facebook ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon