Ijumaa, 19 Ramadan 1445 | 2024/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Wilayah Pakistan: Kampeni "Khilafah Itaikomboa Pakistan Kutokana na Sera Angamivu za Mfuko wa Fedha wa Kimataifa"

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan inaandaa kampeni pana katika mitandao ya kijamii kwa anwani "Khilafah Itaikomboa Pakistan Kutokana na Sera Angamivu za Mfuko wa Fedha wa Kimataifa" ili kuirudi bajeti iliyo wasilishwa na watawala wa Pakistan, na itaandaa Tufani ya Twitter ili kufichua sera angamivu zilizoamriwa na Mfuko wa Fedha wa Kimataifa juu ya Pakistan, sera hizi ndizo zinazoizua Pakistan kutofaidika kutokana na uwezo wake wa kihakika.

Ewe Mwenyezi Mungu turudishie ngao yetu, Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume… Allahumma Amin   

#IMFEnslavesKhilafahLiberates

Jumamosi, 01 Dhu al-Qa'adah 1442 H sawia na 12 Juni 2021 M

- Khilafah Humaliza Utumwa wa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) -

Imetolewa na: Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya Pakistan

Jumanne, 18 Dhu al-Qa'adah 1442 H sawia na 29 Juni 2021 M

Imebadilishwa mara ya mwisho mnamoJumatatu, 19 Julai 2021 10:36

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu