Alhamisi, 03 Dhu al-Qi'dah 1446 | 2025/05/01
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Uswidi: Ujumbe Mbele ya Ubalozi wa Uturuki nchini Uswidi!

Mbele ya ushujaa mujahidina wameudhihirisha katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya  umbile nyakuzi la Kiyahudi, ambalo linaendelea kuushambulia Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa, na uzingiraji wake wa kuendelea na kudumu wa miaka 17 kwenye Ukanda wa Gaza, na mbele ya mauaji ya kikatili yaliyofanywa na umbile hili la kihalifu katika wiki mbili zilizopita dhidi ya Waislamu waliotengwa katika Ukanda wa Gaza

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Uswidi: Kisimamo cha Kuwanusuru na Kuwaombea Nusra Waislamu nchini Palestina!

Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa yaliyofanywa na Mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile nyakuzi la Kiyahudi, ambalo linaendelea na kuzidi na hujuma yake inayoendelea dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na uzingiraji na ulipuaji wake wa mabomu ambao umeendelea kwa miaka 17 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut-Tahrir / Uswidi inaandaa kisimamo kufichua unafiki wa Magharibi na uungaji mkono wake kwa umbile la Kiyahudi

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu