Ijumaa, 19 Ramadan 1445 | 2024/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Maandamano ya Kijiji cha Kafra "Hakuna Mbadala katika Kuiangusha Serikali na Kusimamisha Utawala wa Uislamu"

Katika kumbukumbu ya miaka kumi na moja ya Mapinduzi Matukufu, Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Kafra viungani mwa Azaz, kwa anwani "Hakuna Mbadala katika Kuiangusha Serikali na Kusimamisha Utawala wa Uislamu!".

Ijumaa, 15 Sha'aban 1443 H – 18 Machi 2022 M

- Video ya Amali ya Maandamano -

Kalima Zilizotolewa Wakati wa maandamano

Kalima ya Dkt. Mohamed Al-Hourani

Mwanachama wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir, Wilayah Syria

Kalima ya Ustadh Ali Al-Bakri

Mwanachama wa Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria

Hotuba ya Dkt. Mahmoud Al-Sayeh

Mmoja wa wanamapinduzi wa mji wa Al-Bab

Kwa Maelezo Zaidi Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria:

Tovuti Rasmi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Ukurasa wa Facebook wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Ukurasa wa Twitter wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Chaneli ya Telegram ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Chaneli ya YouTube ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Akaunti ya Whatsapp ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu