Wale Waliotazama Moto wa Gaza Wamehukumiwa Udhalilifu!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ikiwa Bw. Erdogan angekuwa mkweli, angejibu uwepo huu wa kigaidi kwa nguvu za kijeshi, mateso haya yasingetokea Gaza. Ikiwa kweli wewe ni mkweli, hutanyamaza tena kuhusu mauaji yanayofanywa na magenge ya Kiyahudi huko Gaza na Lebanon, bali utahamasisha jeshi. Kwa hivyo, kanda na jiografia iliyo chini ya moto itakomesha ukatili huu, na utafanya kile kinachohitajika hata ikiwa kimechelewa.
 
			



 
  
  
  
  
  
  
  
  
 